Tuesday, June 14, 2016

MPENZI WANGU WA ENZI


Jioni usikawie
Moyo umejawa hamu
Mashaka usinitie
Maumivu ni haramu
Usinifanye nilie
Nikameza hata sumu
Fika nami nitulie
Zirudi zangu fahamu
Haki yangu nipatie
Nijihisi mwanadamu
Mlete nimsikie
Anene yake matamu
Nimeshampenda Mie
Mimi naye damudamu
Mpenzi wangu wa enzi, asilani sitomwacha.

Moyo unataka tiba
Mlete kwangu haraka
Kinada akipuliza
Roho inaliwazika
Akinena kwa mahaba
Huzidi yangu faraja
Shaka yote huniisha
Akiwa nami faragha
Napenda anapocheka
Anapenda nikideka
Jioni naomba fika
Kabla hamu haijanisha
Mpenzi wangu wa enzi, asilani sitomwacha.

Jua nenda pumzika
Muda umeshawadia
Sitaki kufedheheka
Wasiwasi kunitia
Nafsi haitoridhika
Machoni nisipomtia
Karibu ninamtaka
Kutwa namsubiria
Hapa ataliwazika
Kwa wake mahabubia
Hanjumati nitapika
Nyimbo nitamuimbia
Mimi kwake nishafika
Na kwangu keshatulia
Mpenzi wangu wa enzi, asilani sitomwacha.

(c) Zuhura Seng'enge
     ~ A. L 2016

https://s-media-cache-ak0.pinimg.com/236x/9a/25/0f/9a250f4c2f284631c0d2ea11a58139c9.jpg

4 comments:

  1. Replies
    1. Asante sana Emmanuel Mtui. Nashukuru kwa marejesho yako.

      Delete
  2. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

Please share your thoughts and feelings..