Thursday, December 4, 2014

KEMEA UKEKETAJI.

Mwanamke wa Tanzania ana haki,

Mwanamke wa Tanzania ana nafasi,

Mwanamke wa Tanzania ana sauti.

Awe mjumbe wa vitongoji vyote,

Awe mtetezi wa wanawake wote,

Awe imara, tayari siku zote,

Kukemea dhana potofu za unyanyasaji,

Na vitendo hatari vya ukeketaji.

Linda afya yako, linda hadhi yako,

Jipende,

Kataa kukeketwa!!

Zuhura Seng'enge.
25/11/2014.

(Please share, leave a comment)

No comments:

Post a Comment

Please share your thoughts and feelings..